Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi,
sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako
mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza
mpenzi nitunziye langu penzi!
_______________________________________
Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka
kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi
tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi
kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini
kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.

0 Comments